banner

.

.

Tuesday, 21 January 2014

MVUA KUBWA YANYESHA KATIKATI YA JIJI LA MWANZA NA KUATHIRI UPALANGANAJI WA PESA........


Barabara ya Lumumba jijini Mwanza na heka heka zake katika kipindi cha mvua. Mvua hii imenyesha leo majira ya Mchana na kupelekea shughuli za biashara katikati ya jiji la Mwanza.
Mifereji ya maji taka ni finyu nayo ikishinda bila kufanyiwa usafi ikiwa ni pamoja na uzibuaji hali huwa tete.
Adha waipatayo wafanyabiashara waliopangisha kwenye maduka ya majengo yaliyopo pembezoni kwa kituo cha daladala za Mwaloni zamani karibu na soko kuu.


Tupe maoni yako