banner

.

.

Thursday 17 August 2017

COPY CAT TARGETS IMPROVING CUSTOMERS REALATIONS

The  Executive officer of Copy Cat Tanzania limited Mr Mike Holtam, and the Quest of Honour Member of Paliament of Busega Constituency Dr Raphael Chegeni and the Winner of Copy Cat Prize Mr Amani.







 MWANZA

The  Executive officer of Copy Cat Tanzania limited Mr Mike Holtam has said his company will  continue providing the best services to their customer.

Speaking during their company customer gathering party held at Isamilo lodge  here, Mr Holtam their highest priority is customer care.
‘’We are committed to our customers in Mwanza region and we are here to stay. we are not just  supplier of office equipment and information technology solutions. Our organization believes in supporting the users of the equipment which we supply with technical services, genuine parts and consumables’’ He said

Mr Holtam further said their company will stay for a very long time and they will continue providing the best services to their customers.
He said they will continue selling real quality products from their company.

On his side the Mwanza branch manager Neil Patel said the will strive hard and making sure their customers benefit from the products of their company.

The guest of honor, Busega district member of parliament Dr Raphael Chegeni  said the Copy cat company plays a great role towards the providing of the best services of electronics and office equipments.
He also commended the company for providing employment to more than 100 Tanzanians.
End

Copy Cat Group offers hard ware and software products and services, which include security equipment, printers and copiers, cash handling equipment, data centres and consultancy.The company had increased its presence in the region with operations in Kenya, Tanzania, Uganda and Rwanda.

Tupe maoni yako

Friday 11 August 2017

JOSEPHU JOEL AONA MAONO..

Mkali wa miondoko ya Gospel fleva Josep Joel amesema kuwa anaamini katika muziki anaoufanya na anaamini kuwa ipo siku muziki wake utakuja kuleta mapinduzi makubwa sana katika tasnia ya muziki wa injili kwakuwa tayari ameshaanza kuona baadhi ya dalili nzuri kwa muziki wake ikiwemo kupata wafuatiliaji wengi wa kazi zake mfano ni video ya wimbo wake wa Hata Hilo Litapita ambayo imepata kutazamwa na watu zaidi ya Elfu ishirini (20000) kupitia mtandao wa youtube.

Tupe maoni yako

HUU NDIO MUONEKANO HALISI WA WA ALBAMU YA MWAHANGILA..

Kwa muda mrefu Christopher Mwahangila amekuwa akifanya vizuri sokoni kupitia albamu yake ya Mungu ni Mungu Tu lakini siku ya jana kwenye ukurasa wake wa Facebook anaotumia kwa jina la Chriss Mwahangila amepost picha inayoonyesha muonekano wa kava la albamu yake mpya iitwayo "Mungu hawezi kukusahau"
Kwenye cover hilo kwa juu kuna maneno ya wimbo uliobeba albamu yaliyoandikwa MUNGU HAWEZI kukusahau kuna picha yake kubwa inayoonyesha kuwa yeye ndiye mmiliki wa hii album kuna Stika ya TRA kuhakikisha kwamba hii ni kazi Original na sio fake kuna Mawasiliano ya Msambazaji wa hii albamu ambao ni Mbogo Production kuna Jina lake la Christopher Mwahangila na chini kuna mawasiliano yake...Albamu ya Christopher Mwahangila iitwayo Mungu Hawezi Kukusahau sasa inapatikana madukani kote....

Tupe maoni yako

WOLPER KUSAPOTI MZIKI WA INJILI...

Mwigizaji maarufu wa filamu za kitanzania Jackline Wolper anatarajiwa kuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa wanaotarajiwa kuhudhuria kwenye uzinduzi wa album ya Mwimbaji wa muziki Injili Magreth Sembuche iitwayo Waambie Wataabishaji,


Tamasha la uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika siku ya Jumapili hii ya tarehe 13-8-2017 kwenye ukumbi wa kanisa la Angilikana lililopo Salasala, Mbezi Beach kuanzia saa saba mchana na kuendelea,
Pia waimbaji mbali mbali watakuwepo wa muziki wa injili watakuwepo kumsindikiza Magreth Sembuche katika uzinduzi wake kama Masanja Mkandamizaji, Christopher Mwahangila, Tumaini Njole, Edson Mwasabwite, Mc Joshua Makondeko na wengine kibao kwa Mawasiliano zaidi 0717163146.

Tupe maoni yako

SHADRACK ROBERT AACHIA NGOMA MPYA.....

Amekuwa akisumbua kwenye chart na Top Ten za media tofauti tofauti kupitia wimbo wake wa Mungu Nilinde ambao amemshirikisha Angel Benard,
Lakini siku ya Leo kwa mara ya kwanza Shadrack Robert ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao UsiyeLala ambayo imedirrectiwa na Travella chini kampuni ya Kwetu Studio....

Tupe maoni yako

Tuesday 25 July 2017

UNITED YAFIKISHA MAKIPA SABA


Kocha Jose Mourinho amemsajili kipa Theo Richardson (18) atakayempa ushindani David De Gea msimu huu.
Usajili wa kipa huyo mpya umefikisha idadi ya makipa saba kwenye klabu ya Manchester United ambao ni De Gea, Romero, Joel Pereira, Kieran O’Hara, Max Johnstone, Ilias Moutha-Sebtaoui.
Taarifa iliyotolea jana kipa huyo amesajiliwa kwa mkataba wa kudumu ambapo ataanza kuonyesha makali yake msimu huu mpya Ligi Kuu England utakapoanza.
Kipa huyo aliyechukuliwa kutoka timu ya vijana ya Leeds United  hivi karibuni alikuwa kwenye mechi za majaribio na Manchester United.

Tupe maoni yako

WEST HAM UNITED YAMNASA CHICHARITO


Mshambuliaji Javier Hernandez amekamilisha uhamisho wake wa pauni16milioni kutoka Bayer Leverkusen kwenda West Ham na kuwa mchezaji ghali zaidi kusajili katika historia ya klabu hiyo.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester United atakuwa ni mchezaji anayelipwa zaidi historia ya Hammers akipokea mshahara wa pauni140,000 kwa wiki katika miaka mitatu.
Hernandez anaungana na wachezaji wengine wapya waliosajiliwa na West Ham, akifuatiwa na Joe Hart, Marko Arnoutovic na Pablo Zabaleta kwenye Uwanja wa London.
Akizungumzia uhamisho wake Hernandez alimbia tovuti ya klabu hiyo: “Nimefurahi kujiunga na West Ham United.

Tupe maoni yako