banner

.

.

Saturday, 15 March 2014

MWISHO WA MKUTANO WA KAMPENI CCM KALENGA



DSC_0501_744d9.png
Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM Godfray Mgimwa akiongea na wapigakura katika kijiji cha Udumuka kata ya Ifunda wakati wa mkutano wa kampeni huku akitoa ahadi ya kukabiliana na changamoto walizonazo.
DSC_0494_a8c8d.png
Wananchi wa kijiji cha Udumuka wakimsikiliza mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga Godfray Mgimwa kupitia chama chamapinduzi akimwaka sera zake kwa kutumia Ilani ya CCM.
DSC_0505_f161a.png
Kampeni zikiendelea katika kijiji cha Udumuka  Jimbo la Kalenga.

Tupe maoni yako