Mgeni Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu akitoa pongezi kwa jinsi mchakato unavyokwenda ikiwa ni pamoja na kutumia Teknolojia ya hali ya juu ili kila mtu afikiwe na Rasimu ya Pili ya Katiba
Kundi la watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali wakiwa wamefika katika uzinduzi wa kampeni ya taifa ya kusambaza uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wananchi wote
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jangwani wakiwa katika uzinduzi wa kampeni ya taifa ya kusambaza uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wananchi wote,ambapo pia kulikuwa na shule zengine Kama Azania ,Mazimbwi na Chamazi.
Tupe maoni yako
