Kamanda
wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Abri Asas wa piki kulia akimuapisha
mlezi wa chipukizi wilaya ya Iringa Bw Jackson Kiswaga ambae
ameteuliwa kushika nafasi hiyo leo kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Bw Asas kulia akimvisha kofia ya ulezi wa chipukizi Bw Jackson Kiswaga leo Bw
Kiswaga akikabidhiwa vitendea kazi na kamanda wa UVCCM mkoa Bw Salim
Asas mara baada ya kuapishwa kuwa mlezi wa chipukizi wilaya ya
Iringa vijijini leo Hapa Bw Kiswaga akiondoka baada ya kukabidhiwa rasmi ulezi wa chipukizi wilaya ya Iringa vijijini.