banner

.

.

Saturday, 25 January 2014

WAZIRI MARY NAGU AMMWAGIA SIFA LUKUKI MTEMVU KUANZISHA TAASISI YA PFT YENYE VICOBA 130 TEMEKE.


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji na Uwekezaji). Dk. Mary Nagu (katikati) akikabidhi pikipiki kwa moja ya vikundi 130 vya Vicoba vilivyo chini ya Taasisi ya PFT katika hafla ya kuviongezea uwezo kwenye Ukumbi wa PTA, Sabasaba, Dar es Salaam . Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Temeke, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo. Abbas Mtemvu. (PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
 Mwenyekiti wa PFT, Abbas Mtemvu akihutubia wakati wa hafla hiyo
 Waziri, Dk Mary Nagu akihutubia katika hafla hiyo, ambapo alimsifia Mtemvu kwa kuanzisha taasisi hiyo ambayo imewasaidia kupunguza umasikini wa wananchi jimboni humo.
 Mtemvu akimpatia Dk. Mary Nagu tuzo kwa ajili ya Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ameisaidia Taasisi hiyo.

Tupe maoni yako