banner

.

.

Monday, 6 January 2014

RAIS ROBERT MUGABE AZIRAI GHAFLAAA.

mu 77055

Na.MOblog.

Mtu kutoka ndani ya chama tawala cha serikali ya Zimbabwe amesema kuwa kiongozi wa muda mrefu na rais wa taifa hilo la Afrika, Robert Mugabe amezirai ghafla.
Happyton Bonyongwe, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Zimbabwe alilipotiwa akisema kwamba ulinzi umeimarishwa katika ikulu ya Zimbabwe, siku moja baada ya hofu ya kuzirai kwa Mugabe na hali yake yake ya kiafya kuenea nchi nzima.(HD)

Tupe maoni yako