Mh:mwigulu
Nchemba akipata mapokezi mazito kutoka kwa maelfu ya wananchi
waliomiminika Viwanja hivi vya Soko la Mbauda kwaajili ya Mkutano wa
hadhara wa kampeni za Udiwani.
Naibu
Katibu Mkuu CCM Mh:Mwigulu Nchemba akiwa ameambatana na Mgombea wa
Udiwani Kata ya Sombetini WIlaya ya Arusha ndugu David,Hapa akiwa kwenye
maandamano kutokea Ofisi za chama hapa Sombetini kuelekea Viwanja vya
Mkutano,Kulia ni Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha.
Mapokezi yanaendelea hapa Soko la Mbauda kwaajili ya kuanza mkutano wa hadhara.
Sehemu
ya Mamia ya Wananchi wakiwa tayari kusikiliza Mkutano huu wa hadhara
kwaajili ya Kampeni za Udiwani kata ya Sombetini jijini Arusha.
Wananchi
wanaendela kumiminika kwenye viwanja hivi vya soko la Mbauda kwenye
Mkutano wa Hadhara wa CCM kumnadi mgombea wa CCM kwenye Kinyang'anyiro
cha Udiwani.
Tupe maoni yako





