Paulo Dybala ni miongoni mwa wachezaji Barcelona inaotaka kuwasajili iwapo Neymar ataondoka kujiunga na PSG, lakini watalazimika kutumia kitita cha euro milioni 120 kwa mujibu wa Mundo Deportivo .
Neymar anaweza kujiunga na klabu hiyo ya Ligue 1 ambao wanajipanga kutoa euro milioni 222 kumtoa Mbrazili huyo Camp Nou, kwa maana hiyo Barca watahitaji mchezaji mpya wa kushirikiana na Suarez na Messi.
Tupe maoni yako