banner

.

.

Friday 7 February 2014

WASHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA WAIPONGEZA AIRTEL.


Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia) akikabidhi kitita cha shilingi milioni moja kwa mmoja kati ya washindi wa milioni moja Bw. Ramadhani Wefa mkazi wa Kinondoni jijini Dar es salaam.Zaidi ya shilingi milioni 150 zimeshatolewa kwenye promosheni hiyo.
Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia) akikabidhi kitita cha shilingi milioni moja kwa mmoja kati ya washindi wa milioni moja Bw. Msemwa Makuzi ambaye pia ni mshindi wa tiketi ya kwenda kushuhudia moja kati ya mechi za Manchester United nchini Uingereza kwenye uwanja wa Old trafford.Mpaka sasa zaidi ya shilingi milioni 150 zimeshatolewa kwenye promosheni hiyo.
Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (wa pili kushoto) akiongelea umuhimu wa promosheni ya Mimi ni Bingwa muda mfupi baada ya kukabidhi shilingi milioni moja kwa baadhi ya washindi wa promosheni hiyo (waliopo pichani). Kushoto ni Bw. Ramdhani Wefa, Kulia ni Philemon Nathaniel Mgaya akifuatiwa na Bw. Msemwa Makuzi ambaye pia ni mshindi wa tiketi na wote wakiwa wanatokea Dar es salaam.

Tupe maoni yako