banner

.

.

Tuesday 4 February 2014

MVUA KUBWA ILIYOAMBATANA UPEPO YAHARIBU NYUMBA ZAIDI KUMI ILOLO JIJINI MBEYA


Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 akilia kwa uchungu kuwa vitu vyote vya ndani vimeharibika pia anamshukuru mungu kumponya na mafuriko hayo kwani alikuwa amelala maji ndiyo yamestua kitandani kwani maji yaliingia mpaka ndani



Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa Ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake

Tupe maoni yako