banner

.

.

Saturday 8 February 2014

LAKAIRO CUP: UTEGI FC NDIYO MABINGWA WA 2014


Mabingwa wa michuano ya Lakairo Cup, Utegi Fc wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mpambano wao na Nyanduga Fc ambapo walitwaa uchampioni kwa mikwaju ya penati 4-3, dakika 90 zilimalizika kwa timu hizo kutoka sare ya 1-1.
Nyanduga Fc katika picha ya pamoja kabla ya fainali ya michuano ya Lakairo Cup iliyoenda sambamba na Maadhimisho ya miaka 37 ya Chama cha mapinduzi (CCM), 

Tupe maoni yako