| Gari la Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe likipita kwa shida katika barabara ya Rupingu -Ludewa jana |
| Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe akkitazama sehemu ya barabara ya Rupingu - Ludewa inayoporomoka kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha |
| Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe akionyesha madhara ya Mvua yaliyopelekea barabara ya Rupingu -Ludewa kuharibika |
Tupe maoni yako
