banner

.

.

Thursday, 27 February 2014

CHADEMA NA TASWIRA ZA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA UBUNGE KALENGA..




Katibu Mkuu akifurahia jambo na mtoto mdogo wa Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa Magulilwa

Mgombea Grace Tendega akisalimiana na wakazi Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa kampeni

                         Mgombea akisalimiana na wananchi wa Magulilwa


                Igumla, Kata ya Luhota, mgombea akisalimiana na wanafunzi

Tupe maoni yako