Katibu Mkuu akifurahia jambo na mtoto mdogo wa Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa Magulilwa
Mgombea Grace Tendega akisalimiana na wakazi Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa kampeni
Mgombea akisalimiana na wananchi wa Magulilwa
Igumla, Kata ya Luhota, mgombea akisalimiana na wanafunzi