banner

.

.

Thursday, 30 January 2014

NAIBU WAZIRI WA FEDHA MH: MWIGULU NCHEMBA AKUTANA NA WAFANYABISHARA NJOMBE.

Naibu Waziri wa Fedha Mh;Mwigulu Nchemba hii leo amekutana na Wafanyabiashara wa Mkoa wa Njombe kuzungumza nao Kuhusu Wajibu wao wa Kulipa Kodi,Matatizo wanayokumbana nao kwenye Biashara na namna ya Kuinua Uchumi wao.Sehemu ya Wafanyabiashara waliofika kwenye Ukumbi wa Turbo hapa Njombe mjini kwaajili ya Kuzungumza na Naibu waziri wa Fedha Mh;Mwigulu Nchemba.

Tupe maoni yako