banner

.

.

Tuesday, 9 May 2017

AJALI YA GALI MKOANI ARUSHA YASABABISHA VIFO VYA WANAFUNZI 32,WALIMU 2 NA DEREVA 1 KATIKA WILAYA YA KARATU


Tanzania imeingia katika huzuni kubwa baada ya kuwapoteza Watoto ambao ni wanafunzi  wa Shule ya msingi ya LUCKY VICENT iliyopo katika Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha,ajali hiyo imepelekea vifo vya Watoto 32,Walimu 2 na Dereva 1.
Ndugu Mtanzania  tushilikiane katika kuziombea Familia zote zilizofikwa na msiba huu kwani msiba huu ni wetu sote sisi kama Watanzania.

MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMEN.

Tupe maoni yako